
Jumatatu, 16 Februari 2015
Tagged Under:
Mh. Dioniz Malinzi "Ekikaka"
Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye alimvisha Joho na kofia
Kamanda wa vijana mkoa wa Kagera Dioniz Malinzi.
Mh Dioniz Malinzi(katikati) akiteta na Ndugu Yahaya Kateme(kulia) wakati akisimikwa
Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akimkabidhi mkuki
Kamanda wa vijana mkoa wa Kagera Dioniz Malinzi wakati wa kumsimika
kwenye uwanja wa Uhuru Platform maarufu kama uwanja wa Mayunga.


Baadhi ya Viongozi wakishuhudia Tukio hilo wakiwa meza kuu.
Kundi la Saida Karoli likitumbuiza...




Mtoto Amina Mbaraka Chilusadi aliyekuwa akicheza pamoja na Saida Karoli akifanya mambo yake
Akicheza ngoma safi kutoka kwa Saida na kundi lake zima
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akimtuza Mtoto Amina Mbaraka Chilusadi aliyekuwa akicheza pamoja na Saida Karoli.
Saida
Karoli akitumbuiza wakati wa sherehe hizo za usimikwaji wa kamanda wa
vijana Dioniz Malinzi kwenye uwanja wa Uhuru,Mayunga Bukoba mjini.
Mtoto
Amina Mbaraka Chilusadi akipewa zawadi na Viongozi baada ya kucheza
vyema Ngoma iliyokuwa inatumbuizwa wakati huo wa Kumsimika Kamanda
Dioniz Malinzi
Mbunge wa Bukoba Mjini akiteta jambo na Wananchi wake Bukoba katika Mkutano wa Kumsimika Kamanda wa Mkoa Bw. Dioniz Malinzi
Watu kumsikiliza Mbunge wao Kagasheki ilikuwa Furaha tupu!! Na hapa wakampokea kwa sana
Mkuu wa Mkoa Kagera(kushoto)Mh. John Mongella
Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wananchi wa Bukoba
mjini kwenye uwanja wa Uhuru Platform kwenye sherehe za usimikwaji wa
Kamanda wa Vijana mkoa wa Kagera Dioniz Malinzi.
Wananchi waliojitokeza wakiunga jambo
Vijana Makamanda(CCM) wakishuhudia zoezi hilo kwa makini
DIONIZ MALINZI ASIMIKWA UKAMANDA WA VIJANA MKOA WA KAGERA
By:
Unknown
On: Jumatatu, Februari 16, 2015

Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni