Djokovic ametetea ubingwa wake mara mbili mfululizo mara zote akimpiga mpinzani wake Federer. Roger Federer ni mshindi mara saba wa Wimbledon na wawili hawa wamewahi kukutana mara 40 na kila mmoja kamfunga mwenzake mara 20.
Novak mwenye miaka 28, alishinda kwa 7-6 (7-1) 6-7 (10-12) 6-4 6-3
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni