Bao za Mechi hii zilifungwa na Scott Dann Dakika ya 76 kwa Palace na Romelu Lukaku kurudisha Dakika ya 81.
Kabla ya Lukaku, mwenye Miaka 22, kusawazisha, Everton walipiga Posti mara 3 na hatimaye Lukaku kufunga likiwa ni Bao lake la 50 katika Mechi 100 za Everton.
Matokeo haya yamewaweka Palace Nafasi ya 6, wakiwa na Pointi 23, na Everton wakiwa Nafasi ya 9 wakiwa na Pointi 22 huku Vinara ni Leicester City wenye Pointi 32 baada ya Mechi 15 kwa Timu zote.
Meneja wa Everton Martinez
Meneja wa Crystal Palace Alan Pardew
0 maoni:
Chapisha Maoni