
Rooney aliumia Enka Wiki iliyopita akiwa Mazoezini na Timu ya England ambayo yeye pia ndio Nahodha na kuzikosa Mechi zake mbili za kumalizia Kundi E la EURO 2016 dhidi ya Estonia na Lithuania.
Baada ya Mechi hiii ya Jumamosi, Man United watapaa kwenda Moscow, Urusi kucheza na CSKA Moscow katika Mechi ya Kundi B la UEFA CHAMPIONS LIGI hapo Jumatano na kufuatia na mtanange wa Dabi ya Jiji la Manchester dhidi ya Man City Jumapili Uwanjani Old Trafford kwenye Mechi ya Ligi Kuu England

0 maoni:
Chapisha Maoni