
Wapo wanaoogopa kusafiri kwa ndege kabisa, lakini haimaanishi kwamba usafiri wa ndege ni hatari au sio salama kabisa, kwa wataalam wanasema ndege ndio usafiri salama namba moja Duniani.
Ripoti za 2015 zimetoka, Qatar Airways imetajwa kama Shirika la Usafiri wa anga ambao ni bora zaidi duniani, najua wako ambao hawajawahi kusafiri kwa ndege za Qatar.
Kama unatamani kuyaona mazuri mengine yaliyomo ndani ya ndege hizo unaweza kuona pichaz zake hapa jinsi kulivyo humo ndani.

Pembeni ya siti kuna hii sehemu ambayo unaweza kuweka vitu vyako vidogo vidogo, vinakuwa salama kabisa safari yote




Kwenye utakavyoenjoy First Class ni pamoja na hii sehemu ambayo unaweza kulala kabisa ukiwa kwenye safari ndefu.



Utaogopa kula chakula kwenye ndege ya Kichina? Ona mtu wangu, vyakula vya ndani ya Qatar vya kawaida kabisa, hata wali upo!!

0 maoni:
Chapisha Maoni