.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumamosi, 11 Julai 2015

Tagged Under:

Dr Slaa kathibitisha kuteuliwa na UKAWA

By: Unknown On: Jumamosi, Julai 11, 2015
  • Share The Gag
  • .
    .
    Baada ya jina la katibu Mkuu wa Chadema Dk Wibroad Slaa likiwa limeteuliwa na UKAWA kuwa mgombea wake wa nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba.
    Dakika chache zilizopita kwenye ukurasa  wa @twitter wa Dr Slaa kathibitisha kuteuliwa na UKAWA.
    .
    .
    Nashukuru UKAWA kwa imani kubwa. Kazi ya mabadiliko iliyoanza 1992 kwa vyama vingi imebakiza miezi michache kushinda. Kura yako ni ukombozi –  @willibrordslaa
    Nashukuru UKAWA kwa imani kubwa. Kazi ya mabadiliko iliyoanza 1992 kwa vyama vingi imebakiza miezi michache kushinda. Kura yako ni ukombozi.

    0 maoni:

    Chapisha Maoni