
Kitendo hicho cha Yanga ambacho kinatajwa kuhatarisha maisha ya mashabiki waliojitokeza na miundombinu ya uwanja, shirikisho la soka Tanzania TFF limetangaza kupitia Rais wake Jamal Malinzi kuwa,
kuanzia sasa mechi zote za kimataifa hazitoratibiwa tena na vilabu,
kitendo ambacho kinatafsiriwa kama hakutatokea tena mashabiki kuruhusiwa
kuingia bure uwanjani.
0 maoni:
Chapisha Maoni