Euro 2016: ENGLAND 2 v 0 ESTONIA, THEO WALCOTT NA RAHEEM STERLING WAIPA USHINDI ENGLAND USIKU HUU! ROONEY APEWA KIATU CHA DHAHABU!
Theo Walcott aitanguliza England mbele.Theo akishangilia goli lake usiku huuTheo
Walcott kaifungia England bao dakika ya 45 na kuongoza kwa bao 1-0
dhidi timu ya Estonia, Bao la pili limefungwa na Raheem Sterling dakika
ya 85 na mtanange kumalizika kwa bao Bao 2-0 England wakiibuka na
Ushindi.Sir Bobby Charlton akipata picha ya pamoja na Wayne Rooney baada ya kupewa kiatu cha dhahabu kwa kuvunja rekodi ya mabao 49
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni