
Siku hiyo pia hutangazwa Mchezaji Bora kwa upande wa Kinamama pamoja na Kocha Bora kwa pande zote mbili za Wanaume na Wanawake.
Pia, Goli Bora la Mwaka, ambalo hutunukiwa Tuzo ya Puskas, litajulikana baada ya Kura kutoka kwa Wadau wote inayofanyika Mtandaoni.

Tuzo ya mwisho itakayotolewa Siku hiyo ni ile Tuzo ya Rais wa FIFA ambayo humwendea Mtu au Taasisi iliyotoa mchango bora katika Soka.
FIFA Ballon d’Or
WASHINDI WALIOPITA:
2014 Cristiano Ronaldo [Portugal]
2013 Cristiano Ronaldo [Portugal]
2012 Lionel Messi [Argentina]
2011 Lionel Messi [Argentina]
2010 Lionel Messi [Argentina]
2009 Lionel Messi [Argentina]
2008 Cristiano Ronaldo [Portugal]
2007 Kaká [Brazil]
0 maoni:
Chapisha Maoni