The Blues, ambao tayari walikuwa keshampoteza kipa Thibaut Courtois aliyekuwa kaoneshwa kadi nyekundu kwa kumwangusha mshambuliaji Bafetimbi Gomis walisalia 9 uwanjani baada ya timu ya utabibu kukimbia kushughulikia mguu wa Hazard na wakachukua muda mrefu japo kulingana na Mourinho hakukuwa 'ameumia sana''

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni