The Blues, ambao tayari walikuwa keshampoteza kipa Thibaut Courtois aliyekuwa kaoneshwa kadi nyekundu kwa kumwangusha mshambuliaji Bafetimbi Gomis walisalia 9 uwanjani baada ya timu ya utabibu kukimbia kushughulikia mguu wa Hazard na wakachukua muda mrefu japo kulingana na Mourinho hakukuwa 'ameumia sana''
''Hapa uwanjani uwe ni mbeba mpira, daktari ama hata katibu mwandishi sharti uwe unafahamu jinsi mpira unaendelea uwanjani''
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni