Jumatatu, 22 Juni 2015

EURO U-21: JESSE LINGARD AIPA USHINDI ENGLAND, WAKIICHAPA BAO 1-0 SWEDEN

.

England, wakicheza Mechi yao ya pili ya Fainali za Mashindano ya Mataifa ya Ulaya kwa Vijana chini ya Miaka 21, EURO U-21, Leo wameifunga Sweden 1-0 huko Ander Stadium, Olomouc Nchini Czech Republic. 
Katika Mechi yao ya kwanza ya Kundi B England walifungwa 1-0 na Portugal lakini Leo mkombozi wao alikuwa Jesse Lingard, Chipukizi wa Manchester United, alieingizwa Dakika ya 55 kumbadili Pritchard na kufunga Bao pekee na la ushindi kwa Shuti kali kufuatia Kona.
England watamaliza Mechi yao ya mwisho ya Kundi C kwa kucheza na Italy hapoKikosi cha Timu ya England U21Kikosi kikiomba kabla ya MtanangeHarry Kane akiachia shuti kaliJesse Lingard kwenye mbio kuukimbiza mpira
Jesse Lingard akifunga bao
Kwenye raha za kupata baoWakimpongeza mwenzao

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni