
Katika piga nikupige ya Penati, Timu zote zilifunga Penati zao 3 za kwanza kupitia Lionel Messi, Ezequiel Garay na Ever Banega kwa Argentina huku Colombia wakifunga kupitia James Rodriguez, Radamel Falcao na Juan Cuadrado.

Colombia wakafunga Penati yao ya 5 kupitia Cardona na Argentina, wakitakiwa kufunga Penati yao ya 5 ili wasonge, wakakosa Mpigaji akiwa Lucas Biglia na kufanya Bao ziwe 4-4.

Penati iliyofuatia ilipigwa na Colombia lakini Murillo akakosa na akaja Mchezaji mpya wa Boca Juniors ya Argentina, Carlos Tevez, alieanzia Benchi kwenye Mechi hii, na kufunga Penati ya mwisho iliyowapa Argentina ushindi wa Penati 5-4.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni