denbazira
Jumapili, 22 Februari 2015
RATIBA LIGI KUU VODACOM LEO JUMAPILI, HII
Azam FC itakuwa mgeni wa Ruvu Shootings katika uwanja wa Mabatini wakijaribu kuongeza tofauti ya pointi na Yanga ili kuendelea kushika usukani wa #VPL. Itaweza kuondoka na ushindi dhidi ya timu iliyokamia kutofungwa nyumbani?
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
‹
›
Nyumbani
Ona toleo la wavuti
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni