Msimu uliopita Arsenal walimaliza Nafasi ya 3 kwenye Ligi ambayo hawajawahi kutwaa Ubingwa tangu 2003/04 na tangu wakati huo walitoka kapa kila Msimu na kuonja Makombe Mwaka Jana kwa kutwaa FA CUP na kulitetea tena Mwaka huu.
Hadi sasa Arsenal imemsaini Mchezaji mmoja tu, Kipa Mkongwe kutoka Chelsea, Petr Cech, lakini Wenger ana imani kubwa na Kikosi chake.
Wenger, alietua Arsenal Mwaka 1996, ameweza kuipa Ubingwa wa Ligi Kuu England mara 3 kwenye Misimu ya 1997/98, 2001/02 na 2003/04.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni