Jumapili, 10 Januari 2016

00FA CUP: ARSENAL 3 vs 1 SUNDERLAND, JOEL CAMPBELL, RAMSEY NA GIROUD WAIPA USHINDI GUNNERS!


BAO za Arsenal zimefungwa na Joel Campbell dakika ya 25,  Aaron Ramsey dakika ya 72 na lile la  Olivier Giroud dakika ya  75 na mtanange kumalizika kwa bao 3-1 dhidi ya Sunderland.
BAO la Sunderland  limefungwa na Jeremain Lens dakika ya 17
1-1 na mpira kwenda mapumziko

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni