
Willian akiachia shuti

Meneja wa Chelsea Jose Mourinho kalazimishwa sare na Dynamo Kiev

Cesc Fabregas akipambana na Yevhen Khacheridi

Diego Costa akifanya yake

Mashabiki wa Chelsea

Piga nikupige dakika 90 hakuna aliyeliona lango la mwenzake!

Hapa siyo England!!! Cesc Fabregas akiteta jambo na refa Damir Skomina

Nemanja Matic akiangalia mpira

Eden Hazard aliachia shuti na kugonga post ya lango
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni