
Rooney akimtoka Sagna


Daaa...chupu chupu!

Bastian akiachia shuti mbele ya Fernadinho

Ander Herrera akipanga amtoke vipi Kompany wa City

Sir Alex Ferguson

Yaya Toure akikanywa

Chupuchupu!

Rooney na Kompany wakiteta kwa mikono!

Sterling, Bony na Bruyne

Martial
Kompany akioneshwa kadi ya njano katika kipindi cha kwanza na Mwamuzi Mark Clattenburg.
Antonio aliumia hapa katika kipindi cha kwanza

Hadi mapumziko Man United 0 v 0 Man City

Kocha Manuel akiteta jambo

Kocha wa Man City

Wakongwe! Kompany na Rooney wakiukimbiza mpira


Martial na Sagna


Morgan

....Rooney akipata matibabu ya muda baada ya kuumia kichwani

Martial na Otamendi

Yaya Toure
VIKOSI:
Man Utd: De Gea, Valencia, Jones, Smalling, Rojo, Schweinsteiger, Schneiderlin, Mata, Ander Herrera, Martial, Rooney.
Akiba: Depay, Carrick, Blind, Romero, Fellaini, Lingard, Darmian.
Man City: Hart, Sagna, Kompany, Otamendi, Kolarov, Fernando, Fernandinho, De Bruyne, Toure, Sterling, Bony.
Akiba: Zabaleta, Caballero, Jesus Navas, Mangala, Demichelis, Roberts, Iheanacho.
Refa: Mark Clattenburg 
Fernadinho

Wakiingia Uwanjani
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni