
David De Gea alirejeshwa Kikosi cha Kwanza cha Man United Mwezi huu baada ya kutupwa nje kutokana na sakata lake la kuhamia Real Madrid.
Jana, baada ya Kepteni Wayne Rooney kutoka Uwanjani alipobadilishwa na Memphis Depay katika Dakika ya 81, utepe wa Kepteni ulipelekwa kwa David De Gea.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni