Alhamisi, 24 Septemba 2015

CAPITAL ONE CUP: TOTTENHAM HOTSPURS 1 vs 2 ARSENAL, MATHIEU FLAMINI AIPA USHINDI GUNNERS!


Mathieu Flamini  akipeta!Mathieu Flamini alipoifungia bao la pili Arsenal na kufanya 2-1 dhidi ya Spurs 2-1Calum Chambers (21) kajifunga goli na kuwazawadia bao wapinzani wao Tottenham kwa kuisawazishia bao Spurs kwa kufanya 1-1.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni