Zao la kwanza la Diamond Platnumz,Anaitwa Harmonize kwenye singo inaitwa Aiyola.
Diamond Platnumz ameamua kumtambulisha msanii wake wa kwanza mtu
wangu kutoka kwenye lebo yake ya WCB,msanii huyu anaitwa Harmonize na
hii ni singo yake ya kwanza inaitwa Aiyola,ukiisikiliza unaweza kuandika
comment hapo chini.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni