
Mbele ya Mashabiki 54,331 Uwanjani kwao Etihad, Manchester City Leo wamewabonda Mabingwa wa England Chelsea Bao 3-0 katika Mechi ya Ligi Kuu England.
Wakati huu ni ushindi wa pili mfululizo kwa City wa 3-0 kila Mechi tangu Ligi ianze Wikiendi iliyopita, kwa Chelsea hii ni Mechi yao ya pili bila ushindi baada kuanza kwa Sare ya 2-2 huko kwao Stamford Bridge walipocheza na Swansea City.







Kipindi cha Pili kilianza kwa Chelsea kufanya kitu cha ajabu kwa kumpiga Benchi Nahodha wao John Terry na kumuingiza Kurt Zouma nah ii ni mara ya kwanza kwa Jose Mourinho kuwahi kumpumzisha Nahodha wake kwa staili hiyo.











Hakuna maoni:
Chapisha Maoni