Jumatano, 26 Agosti 2015

MAGHUFULI AKIWA KWENYE KAMPEINI MIKOANI

.
.
Wakati Ukawa wakiwa wamezuiliwa kutumia uwanja wa Jangwani uliopo Dar es Salaam kwenye shughuli za kampeni uchaguzi 2015, sasa hapa nina picha ambazo zikimuonesha mgombea wa Urais kupitia chama cha Mapinduzi, Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika ziara zake huko Mikoani ikiwemo, Tunduma, Sumbawanga, Rukwa.
.
.Mhe. Magufuli katika Kampeni za Uchaguzi 2015 mkoani Sumbawanga.
.
.Mhe John Pombe Magufuli akihotubia Wananchi wa Tunduma, asema atashulikia matatizo yao.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni