Alhamisi, 11 Juni 2015

UHAMISHO 2015: SWANSEA CITY YAMSAJILI AYEW ANDRE, KUVAA JEZI NO. 10 MGONGONI!


www.bukobasports.comKlabu ya Swansea City inayokipiga Ligi Kuu England imethibitisha kumsaini Mchezaji mpya @AyewAndre na atavaa jezi namba 10 kwa ukamilisho huo wa ujio huo Ligi Kuu katika Klabu hiyo yenye Uwanja unaojulikana Liberty Stadium.
Andre Ayew amesajiliwa kutoka kwenye Klabu ya Marseille.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni