
Bilic, Raia wa Croatia mwenye Miaka 46, anachukua nafasi ya Sam Allardyce alieachia ngazi mwishoni mwa Msimu ulioisha Mei baada ya kuifikisha Nafasi ya 12 kwenye Ligi Kuu England.
Bilic aliwahi kuichezea West Ham Mechi 54 kati ya Mwaka 1996 na 1997 na kisha kuwa Kocha wa Croatia kwa Miaka 6.

Lakini katika Klabu zote hizo mbili hakuna mafanikio makubwa aliyoyaleta ingawa mwenyewe ameonyesha matumaini makubwa kwa kujiunga na West Ham moja ya Klabu kongwe za Jiji la London.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni