Jumamosi, 2 Mei 2015

SHEREHE ZA MEIMOSI ZILIYOFANA MKOANI KILIMANJARO


Wafanyakazi wa Shirika la Umeme(TANESCO) mkoa wa Kilimanjaro wakipita na gari lao mbele ya mgeni rasmi katika sherehe za Mei Mosi zilizofanyika katika uwanja wa Chuo Kikuu chaUshirika  mjini Moshi. 
Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCLwakipita katikamaonesho ya Mei Mosi

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni