KEPTENI STEVEN GERRARD AAGWA RASMI LEO MBELE YA MAMIA YA MASHABIKI ANFIELD KWA HESHIMA!!
Steven Gerrard aliingia Uwanjani na Watoto wake wakati wa Mechi ya kumuaga rasmi leo Anfield.Wachezaji wenzake wa Liverpool wakimpa heshima Steven GerrardPicha ya PamojaSteven G. akiondoka Uwanjani na wanae tayari mchezo kuanza AnfieldHeshima kwa mkongwe Steven GerrardTaswiraBye bye Anfield!!Kila shabiki leo alikuwa na hamu kubwa ya kumuaga Steven Gerrard.Shujaa Steven GerrardTaswiara ya Uwanjani Anfield leo wakati wa kumuaga Kepteni Steven Gerrard.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni