denbazira
Jumapili, 31 Mei 2015
COSAFA CUP: NAMIBIA MABINGWA 2015!
Namibia wamebeba COSAFA CUP kwa mara ya kwanza baada ya kuichapa Mozambique 2-0 kwenye Fainali iliyochezwa Moruleng Stadium huko Nchini South Africa.
Bao zote 2 za Namibia zilifungwa na Winga wao Deon Hotto.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
‹
›
Nyumbani
Ona toleo la wavuti
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni