
Van Persie amekosekana michezo sita ya Manchester united kutokana na kuumia enka wakati Man Utd walipopoteza kwa 2-1 dhidi ya Swansea tarehe 21 mwezi wa pili.


Pengo la mholanzi ambae amefunga magoli 10 tu msimu huu halikuonekana kabisa pale alipoumia,na tangu alipoumia man united imepoteza mchezo mmoja tu tena dhidi ya mabosi wake wa zamani Arsenal kombe la FA.





Hakuna maoni:
Chapisha Maoni