
Zipo Timu 10, wakiwemo Mabingwa Man United, ambazo zitashiriki na nazo ni Barcelona, Chelsea, PSG, Porto na Fiorentina, kutoka Ulaya pamoja na Klabu ya Mexico, Club America, na Klabu za Marekani New York Red Bulls, LA Galaxy na San Jose Earthquakes.

Mwaka Jana kwenye Mashindano haya, Mechi kati ya Man United na Real Madrid, ambayo Man United walishinda 3-1, iliweka Rekodi huko Michigan, USA kwa kuhudhuriwa na Washabiki wengi mno ambapo Watu zaidi ya 109,000 walisheheni Uwanjani.

Kwenye Fainali hiyo, Liverpool walitangulia kwa Penati ya Steven Gerrard lakini Man United wakajibu kwa Bao 3 za Wayne Rooney, Juan Mata na Jesse Lingard.
Kwa kuelekea Fainali, Man

TIMU ZITAKAZOSHIRIKI:
Chelsea
Manchester United
Barcelona
Club America
Fiorentina
LA Galaxy
New York Red Bulls
Paris Saint-Germain
Porto
San Jose Earthquakes
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni