Jumatano, 22 Aprili 2015

CARLO ANCELOTTI: TUTAPAMBANA KUFA NA KUPONA DHIDI YA ATLETICO MADRID LICHA YA KUANDAMWA NA MAJERUHI!!


MENEJA wa klabu ya Real Madrid, Carlo Ancelotti ana uhakika kikosi kiko imara kukabiliana na mahasimu wao wa jiji Atletico Madrid katika mchezo wa marudiano wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kesho. Kikosi cha Madrid kinakabiliwa na nyota kadhaa majeruhi akiwemo Luka Modric, Gareth Bale na Karim Benzema.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni