Alhamisi, 4 Desemba 2014

AFCON 2015: MAKUNDI YAPANGWA! WENYEJI EQUATORIAL KUNDI A KUUMANA NA CONGO-BRAZZAVILLE.

Wababe msimu wa 2013DROO ya kupanga Makundi ya AFCON 2015, Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika imefanyika huko Malabo Nchini Equatorial Guinea.
Wenyeji Equatorial Guinea wako Kundi A pamoja na Congo-Brazzaville, Gabon na Burkina Faso na wao ndio watacheza Mechi ya ufunguzi hapo Januari 17 dhidi ya Congo-Brazzaville.
Mechi ya Fainali ya Mashindano haya itafanyika hapo Februari 8.
KUNDI A
Equatorial Guinea
Congo-Brazzaville
Gabon
Burkina Faso
KUNDI B
Zambia
DR Congo
Cape Verde
Tunisia

KUNDI C
Ghana
Senegal
South Africa
Algeria

KUNDI D
Ivory Coast
Guinea
Cameroon
Mali
Equatorial Guinea mwenyeji  mwezi Januari.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni